KIKOSI CHA MBEYA CITY KUTANGAZWA WIKI IJAYO.
Mchakato wa kutafuta vijana watakao cheza ligi ya vijana,ulianza muda wa mwezi sasa ,na amejipanga kutangaza kikosi bora kitakachofanyika na kikosi kikubwa katika maandalizi ya ligi kuu
Akizungumza na JICHOPEMBUZI,Mwambusi alisema wiki hiyo pia wanategemea kutangaza kambi ya maandalizi ,kwamba uongozi wa klabu utaweka bayana kama watajificha wapi kwa kujifua kutengeneza kikosi hicho hili kiweze kuchukua ubingwa msimu ujao.
0 maoni:
Post a Comment