Watu 17 wamekufa na wengine kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea Mkoa wa Dodoma katikati mwa Tanzania.
Taarifa zinasema ajali hiyo imetokea baada ya magari mawili moja lori na jingine ni basi la abilia kugongana uso kwa uso.
Akizungumza na JICHOPEMBUZI kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma David misime amesema ajali hiyo ilitokea majira ya saa mbili za asubuhi siku ya jumatano imesababishwa na kile ambacho kinasemekana ni uzembe wa dereva
Hii sio mara ya kwanza kutokea ajari hapa tanzania ambapo sababu kadhaa zimekuwa zikitajwa kusababisha ajali ikiwemo mwendo kasi wa magari,uzembe wa madereva pamoja na ubovu wa barabara.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

0 maoni:
Post a Comment