
kazi ya uwokoaji inaendelea katika eneo hilo huku hali ya hewa mbaya ikidaiwa kucheleweshwa harakati hizo.
Vikosi vya uwokoaji vinaendelea na kazi ya kuwanusuru watu waliofukiwa na maporomoko ya udongo japokuwa mazingira magumu na hali mbaya ya hewa vinakwamisha shughuli hizo.
Maporomoko ya Ardhi ni ya kawaida kutokea katika nchi hiyo ya India hasa kipindi cha mvua kitokanazo na monsoon.
0 maoni:
Post a Comment