![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi8H0Knr-b70NADDXGqTUqrMptJHCvlFLr2j9EIVA3Z8LbeSO76RzcRGRDB4tmbtC3CuTeP1-U5z0NoJ9jybsqD4fiwQkzXURFBCLuS8u9tUyCEwCddf9fd8o482MDA3D8_ZXfNoG4RGoO5/s1600/man+u.png)
hii ndo tunaita Chemistry(chemia)kwa ufupi chemia ni masomo ya Atomi na mkusanyo wa Atomi kuwa molyekuli,hata ndungu za ngu wajenzi wanajua hilo hili upate zege ni lazima uchanganye ingredients iliupate zege ni lazima uchanganye maji,kokoto mchanga na simenti kwa viwango maalumu.
Kocha Van Gaal wa Manchester United kama akukimbia somo la chemestry basi anataka kutoonyesha staili mpya ya kupika chapati kwa unga wa muhogo.Van Gaal amethubutu kutengeneza molyekuli ya 3-5-2 lakini amekosa Atomi usika za kutengeneza chemestry kwenye timu.watu wa mpira wana elewa kuwa eneo la kiungo ndio muhimu kuliko nafasi nyingine uwanjani kama unavyo jua tafsili ya kiswahili neno kiungo pia ndio hivyo hivyo tafsiri hiyo utumika katika soka,katika soka viungo ndio waunganishaji wa mawasiliano kati ya mabeki na washambuliaji timu nzuri ni hile yenye viungo imara.
na
Anthony fuzzu
0765441559.
0 maoni:
Post a Comment