AKIBA BANK KATIKA MAONESHO YA TASISI ZA FEDHA MNAZI MMOJA DAR ES SALAAM


 Kikosi kazi cha wafanyakazi wa Benki ya Akiba wakiwa tayari katika banda lao katika maonesho ya siku tatu ya Taasisi za Fedha yaliyoanza jana na kumaliza Septemba 6 katika viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam. Huduma mbalimbali zinatolewa na Benki hiyo ikiwa ni pamoja na huduma za mikopo kwa wafanyabiashara wadogo na wakubwa na kufungua akaunti za aina mbalimbali.
 Wananchi wakipata maelezo katika banda la Akiba Bank lililopo katika maonesho ya ya Taasisi za Fedha katika viwanja vya Manazi Mmoja Dar es Salaam leo.
Wananchi wakipata maelezo katika banda la Akiba Bank lililopo katika maonesho ya ya Taasisi za Fedha katika viwanja vya Manazi Mmoja Dar es Salaam leo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment