ALICHOKIFANYA CHRIS BROW ALIPOVAMIWA NA BINTI WAKATI YUKO NA KARRUECHE.

Chris Brown ameingia tena matatizoni baada ya kumzingua shabiki wa kike anaedaiwa kumrukia na kumjaribu kumkiss mbele ya mrembo wake Karrueche tran katika Club moja ya usiku 

Kwa mujibu wa TMZ mwimbaji huyo wa "loyal" aliyekuwa na onesho katika club hiyo huko Taxs badala ya kuwaacha walinzi wake wamshugulikie msichana huyo kwa hasira alimsukuma vibaya 

vyanzo vimeeleza Hollywoodlife kuwa mama mzazi wa Chris Brown na mpenzi wake wamekuwa na hofu kubwa kufuatia matatizo mfululizo yanayo mtokea mwimbaji huyo 

Chris Brown alishauliwa hivi karibuni kutojiingiza katika matatizo baada ya kutoka jera hivi karibuni aliko tumikia kifungo cha siku 108 kwa kosa la kuvunja masharti ya kipindi cha matazamio

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment