Marekani kusaidia kupambana na Ebola



Serikali ya Marekani imeahidi kusaidia mapambano dhidi ya Ebola.
Rais Barack Obama wa Marekani
Rais Barack Obama amesema nchi yake itapeleka vifaa vyake vya kijeshi ili kusaidia kupambana na ugonjwa huo uliozuka katika nchi za Afrika Magharibi.

Akizungumza katika kipindi cha televisheni ya NBC, nchini Marekani, Rais Obama amesema iwapo dunia haitachukua hatua za haraka, ugonjwa wa ebola utaweza kusambaa nje ya Afrika na kutishia usalama wa nchi yake.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment