MSANII MWINGINE NCHINI MAREKANI SIMONE BATTLE AFARIKI DUNIA.

Simone Battle ambaye alikuwa ni mshiriki kwenye shindano la X-Factor mwaka 2011 na vilevile mwimbaji kutoka kundi la waimbaji wa kike la G.R.L amekutwa amefariki nyumbani kwake Los Angeles Marekani .Bado chanzo cha kifo chake akijajulikana lakini uchunguzi unaendelea zaidi kujua ni nini kilitokea na wala akuna taarifa za ziada zilizotolewa zaidi ya hiik ya kusema amekutwa amefariki nyumbani kwake.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment