Mgeni
Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro, viongozi wa Shirika la
Nyumba la Taifa Tanzania (NHC), Viongozi wengine wa Serikali na Walimu
wa Shule ya Msingi ya Hasanga wakifurahia Baada ya Kuzindua Rasmi
ukarabati wa ujenzi huo.
Meza kuu
Mgeni
Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro akizungumza na wananchi,
wanafunzi na Walimu wa Shule ya Msingi ya Hasanga katika Sherehe ya
kukabidhi Majengo ya Shule hiyo.
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Dr. Norman Sigallah King akimkaribisha Mkuu wa Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro
Meya wa Jiji la Mbeya Atanus Kapunga akitoa neno la Shukurani.
Mwenyekiti wa Bodi ya Shule Akiwakaribisha Wageni katika Sherehe hizo
Meneja wa Shirika la Nyumba Mkoa wa Mbeya Anthony Komba akisoma Taarifa ya ukarabati wa Shule hiyo
Mwalimu Neema Sanga (Kushoto) akisoma Risala ya Shule
Baadhi ya Wageni waalikwa na Meza Kuu
Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro akikagua Baadhi ya Majengo
Muonekano wa Baadhi ya Majengo ya Shule ya Msingi Hasanga yaliyokarabatiwa na Shirika la Nyumba la Taifa
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakichukua tukio.
0 maoni:
Post a Comment