Usajili wa mbio za Rock City wazinduliwa Mwanza

Meya wa Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula akionyesha fomu ya kujisajili kushiriki mbio za kilomita tano zitakazofanyika Oktoba 26 baada ya kuzindua usajili wa washiriki wa mashindano ya Rock City Marathon jijini Mwanza, jana
 Meya wa Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula akiongea muda mfupi kabla ya kuzindua usajili wa washiriki wa mashindano ya Rock City Marathon jijini Mwanza jana ambapo alichukua fomu ya kujisajili kushiriki mbio za kilomita tano zitakazofanyika Oktoba 26.
 Mratibu wa mashindano ya mbio za Rock City Marathon 2014, Mathew Kasonta, akiongea wakati wa uzinduzi wa usajili wa washiriki wa mashindano hayo jijini Mwanza jana ambapo Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula, alichukua fomu ya kujisajili kushiriki mbio za kilomita tano zitakazofanyika Oktoba 26.
 Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Riadha mkoa wa Mwanza, Charles Kimune, akiongea machache kabla ya kumkaribisha Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula, kuzindua usajili wa washiriki wa mashindano hayo jijini Mwanza jana ambapo Mabula alichukua fomu ya kujisajili kushiriki mbio za kilomita tano zitakazofanyika Oktoba 26.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Riadha mkoa wa Mwanza, Charles Kimune, akiongea machache kabla ya kumkaribisha Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula, kuzindua usajili wa washiriki wa mashindano hayo jijini Mwanza jana ambapo Mabula alichukua fomu ya kujisajili kushiriki mbio za kilomita tano zitakazofanyika Oktoba 26.

Meya wa Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula amekuwa mtu wa kwanza kujisajili Kanda ya Ziwa kushiriki mbio za Rock City Marathon, huku akiwataka viongozi kuhakikisha wanafufua mchezo huo ili kuurejesha kwenye hadhi yake kimataifa.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment