Wafanyabiashara Kando ya Barabara Wastopishwa Darajani

 Eneo la kisiwandui jirani na benki ya Barclays kisiwandui likiwa katika hali ya uwazi baada ya kutolewa taarifa kutofanya biashara kando ya barabara katika mji na maeneo ya uwazi mjini.ili kuweka maeneo hayo ya uwazi katika hali ya mazingira safi.
Wafanyabiashara katika maeneo ya darajani pembeni ya barabara wakitafakari baada ya Baraza la Manispa kuzuiya ufanyaji wa biashara kando ya barabara za mjini ili kuweka mazingira safi.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment