Eneo la kisiwandui jirani na benki ya Barclays kisiwandui likiwa katika
hali ya uwazi baada ya kutolewa taarifa kutofanya biashara kando ya
barabara katika mji na maeneo ya uwazi mjini.ili kuweka maeneo hayo ya
uwazi katika hali ya mazingira safi.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjR-dP0YTpsPrq5-uQF_dDZXunzCl7Q_xk6bkeTV43oxCCb2PmY636D7x7KMQcjAn9m2zguTBoFprog-u7dLsGWkgHFUEOzkmYU0kaOWg2a0PkmYAXhXp3cxGD7KRdrojdBbtFrDS15xAsI/s1600/_MG_0207.JPG)
Wafanyabiashara katika maeneo ya darajani pembeni ya barabara
wakitafakari baada ya Baraza la Manispa kuzuiya ufanyaji wa biashara
kando ya barabara za mjini ili kuweka mazingira safi.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 maoni:
Post a Comment