Ligi Kuu Polisi na Zimamoto Amaan.


Mshambuliaji wa timu ya Polisi Khamis Abdurahaman akizuiya mpira huku beki wa timu ya Zimamoto Shafi Hassan akijiandaa kumzuiya wakati wa mchezo wa ligi kuu ya grand malt mchezo uliofanyika uwanja wa amaan timu hizo zimetoka sare ya 1--1.
Mshambuliaji wa timu ya Polisi Khamis Abdurahaman, akimiliki mpira huku beki wa timu ya Polisi akimzuiya wakati wa mchezo wao wa ligi kuu ya grand malt uliofanyika uwanja wa amaan. 
Beki wa timu ya Polisi Mohammed Hassan sakiondoa mpira golini kwake huku mchezaji wa timu ya Zimamoto akijiandaa kumzuiya asilete madhara golini kwake.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment