Mshambuliaji wa timu ya Polisi Khamis Abdurahaman akizuiya mpira huku
beki wa timu ya Zimamoto Shafi Hassan akijiandaa kumzuiya wakati wa
mchezo wa ligi kuu ya grand malt mchezo uliofanyika uwanja wa amaan timu
hizo zimetoka sare ya 1--1.
Mshambuliaji wa timu ya Polisi Khamis Abdurahaman, akimiliki mpira huku
beki wa timu ya Polisi akimzuiya wakati wa mchezo wao wa ligi kuu ya
grand malt uliofanyika uwanja wa amaan.
0 maoni:
Post a Comment