Messi matatani kwa kukwepa kodi


Lionel Messi
Nyota wa timu ya Barcelona na Argentina Lionel Messi anakabiliwa na mashtaka ya ukwepaji wa kodi,hii ni kwa mujibu wa jaji mmoja wa Uhispania.
Jaji huyo amepinga ombi la kiongozi wa mashtaka la kufutilia mbali mashtaka hayo kwa madai kwamba babake mchezaji huyo ndiye anayesimamia fedha zake.
Messi na babaake Jorge wanashtakiwa kwa kuiibia mamlaka ya taifa hilo zaidi ya yuro millioni 4.
Wote wamekana kufanya makosa hayo yalioanza mwaka 2007.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment