

Tv sibuka tanzania wazindua kituo kipya cha redio kijulikanacho kama Ghetto f.m 94.5 kulia ni meneja wa sibuka tanzania Bw. Edward Rukasa akizindua rasmi studio hiyo nakuitambulisha kwa wadau na kushoto ni mwenyekiti wa bodi ya bahati nasibu nchini bwana Abasi Tarimba.
0 maoni:
Post a Comment