Gari Lateketea Kwa Moto Sinza


Mwonekano wa gari aina ya Toyota Duet lililoungua.
GARI aina ya Toyota Duet limeungua mchana wa leo maeneo ya Sinza Kijiweni jijini Dar ambapo mashuhuda wa tukio hilo wemesema kuwa chanzo cha ajali hiyo ni kutokana na hitilafu ya moto ulioshika tanki la mafuta wakati gari hilo likiwa gereji. 
Kamera yetu ilishuhudia gari hilo likiwa tayari limekwishakuungua pembezoni mwa barabara eneo la Sinza Kijiweni ambapo ilielezwa kuwa mara baada ya kushika moto taki la maufuta likiwa kwa mafundi gereji lilikokuwa likichomelewa sehemu iliyokuwa imeharibika waliamua kulisukuma hadi barabarani kwa ajili ya kuepusha magari mengine kutokushika moto. 
Baadhi ya wananchi wakilishudia gari hilo lililoungua moto.
Mmoja wa askari akionekana eneo la tukio.
Wananchi wakiendelea kushudia tukio hilo la kuungua kwa moto gari hilo.
Askari Trafiki akionekana kupima ajali hiyo.

from Blogger http://ift.tt/1OnXBu1
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment