Moro sasa katika mfumo wa 4G LTE


Mtoa huduma wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, Neema Mashingia akimsaidia mteja kuhama kutoka huduma ya 3G kwenda huduma ya 4G wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya 4G LTE uliofanyika jana mjini Morogoro
 Mgeni rasmi ambaye ni mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dr Rajab Rutengwe akiongea na Mtaalam wa mitandao ya kijamii wa Tigo bi Samira Baamar wakati akijiandaa kutoa zawadi za washindi wa bahati nasibu, wengine ni binti wa mkuu wa mkoa, Afisa maendeleo ya masoko Shavkat Berdiev (kulia) na mkurugenzi wa Tigo kanda ya Mashariki Goodluck Charles.
Wadau waliohudhuria uzinduzi huo wakisikiliza kwa mageni hotuba zilizokuwa zikitolewa.
Mgeni rasmi, mkuu wa mkoa wa Morogoro Dr Rajab Rutengwe akisalimiana na mkurugenzi wa Tigo kanda ya Mashariki Goodluck Charles, katikati ni Afisa wa maendeleo ya masoko Shavkat Berdiev.
 Wafanyakazi wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, Suleiman Bushagama (Kushoto) Mutalemwa (katikati) na Ben Mponzi (kulia) wakibadilishana mawazo wakati wa uzinduzi huo.
 Wafanyakazi wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, Suleiman Bushagama (Kushoto) Mutalemwa (katikati) na Ben Mponzi (kulia) wakibadilishana mawazo wakati wa uzinduzi huo.

from Blogger http://ift.tt/1Q5jP51
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment