Maneno ya kipa wa timu ya taifa ya Ghana baada ya kutua DSM kujiunga na Simba




Golikipa wa timu ya taifa ya Ghana anayeichezea klabu ya Medeama ya kwao Ghana Daniel Nana Agyei amewasili Dar es Salaam leo November 30 kwa ajili ya kukamilisha mpango wake wa kujiunga na klabu ya wekundu wa Msimbazi Simba.

“Ni kweli nimeamua kuja Simba na nina matarajio makubwa najua Simba ni klabu kubwa walipo niomba kujiunga nao niliongea na meneja wangu tukaangalio ofa yao mezani nikaamua kujiunga nao”
“Kuhusu Agban najua ni golikipa mzuri na mimi ni golikipa mzuri na nipo tayari kushindana na najua nitafanikisha ninachotaka kufanikisha na Simba siogopi chochote kuja kwangu hapa ni heshima kubwa kwangu”

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment