Maamuzi yaliyotolewa kesi ya kupinga vipengele vya sheria ya mitandao


Leo December 2 2016 mahakama kuu kanda ya Dar es salaam imetoa maamuzi ya kesi ya kupinga baadhi ya vipengele vya sheria ya mitandao. Mahakama hiyo imesema vipengele vingi  vipo sawa na vinaendana na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 

Pamoja na maamuzi hayo mahakama hiyo pia imetamka kuwa kifungu cha 50 kimekiuka katiba ya Tanzania na hivyo imetaka kifanyiwe marekebisho ndani ya miezi 12.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment