Soko la Gigy Money lahamia kwa wasanii wachanga


 

Video Queen Gigy Money amesema kwa sasa wasanii wachanga wanamgombania kutaka atokelezee kwenye video zao.
hhh
Akiongea na Bongo5 wiki hii, Gigy Money amedai wasanii hao wanaamini akitokelezea kwenye video zao na wao watakuwa wametoboa.

“Kusema kweli sasa hivi underground wananisumbua sana,” alisema Gigy Money. “Wengi wanaamini nikishiriki kwenye video zao ‘nitawakikisha’ na watatoboa. Lakini nashukuru yote ya yote ni biashara wakija ni milioni moja nashiriki kwenye kwenye video kwa sababu ni wengi na bado kwa bei hiyo kuna baadhi wao nawachinjia baharini kwa sababu siwezi kutokea kwenye kila video,”

Pia Gigy alidai kwa sasa yeye ndiye video queen ambaye anafanya kazi nyingi za kulipwa nchini.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment