Urusi kuvuruga matangazo ya radio kutoka Ukrain kwenda Crimea



 
Urusi ilinyakua eneo la Crimea kutoka Ukrain mwaka 2014
Urusi inasema kuwa itavuruga matangazo ya Ukrain kwenda eneo la Crimea.
Waziri mmoja kutoka nchini Urusi alitangaza hatua hiyo baada ya Ukrain kuanza ujenzi wa mitambo ya kurusha matangazo karibu na eneo la Crimea, lililonyakuliwa na Urusi mwaka 2014.
Urusi inasema kuwa matangazo ya vyombo vya habari vya Ukrain huenda yakakiuka sheria za Urusi.
Ukrain ilianza shughuli ya ujenzi wa mitambo ya kupeperusha matangozo yenye urefu wa mita 150 eneo la Chongar mapema wiki hii.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment