
Jumba hili jili liko ndani ya Rock City Mall
ya jijini Mwanza, na limegawanya katika sehemu mbili ambazo ni Sreen A
na Screen B ambapo Screen A ina uwezo wa kuchukua watu 109 wakati Screen
B inachukua 90 kwa wakati mmoja.

Manish Ruparelia (Afisa Uhusiano Mesterious Cinematix)

Seat nyeusi ni VIP zinalipiwa shilingi 15,000

Seat nyekundu ni kawaida zinalipiwa shilingi 10,000


Unaweza kuangalia hapa muonekano wa ndani wa jumba hili la Cinema.
0 maoni:
Post a Comment