Nimekuwekea hapa Picha za jumba jipya la kisasa la Cinema Mwanza


Kwa muda mrefu jiji la Mwanza halikuwa na ukumbi wa Cinema wa kisasa kama ilivyo kwenye miji mingine ya Dar na Arusha ambako kote kuna kumbi za kisasa za kutazamia movie. Leo nimezipata hizi picha na Video za jumba jipya la kisasa la Cinema “Mesterious Cinematix”.
 
Jumba hili jili liko ndani ya Rock City Mall ya jijini Mwanza, na limegawanya katika sehemu mbili ambazo ni Sreen A na Screen B ambapo Screen A ina uwezo wa kuchukua watu 109 wakati Screen B inachukua 90 kwa wakati mmoja.
whatsapp-image-2017-01-03-at-21-19-57
Manish Ruparelia (Afisa Uhusiano Mesterious Cinematix)
whatsapp-image-2017-01-03-at-20-58-22
Seat nyeusi ni VIP zinalipiwa shilingi 15,000
whatsapp-image-2017-01-03-at-21-19-54
Seat nyekundu ni kawaida zinalipiwa shilingi 10,000
whatsapp-image-2017-01-03-at-21-19-55 whatsapp-image-2017-01-03-at-21-19-56
Unaweza kuangalia hapa muonekano wa ndani wa jumba hili la Cinema.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment