Ben Apima Akimbia Majibu ya Ngoma…!!!

MUIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Abdul Ahmed ‘Ben’ amedaiwa kupima maambukizi ya virusi vya ugonjwa hatari wa Ukimwi (Ngoma) na kukimbia akidaiwa kuhofi a majibu.
Chanzo makini kililitonya gazeti hili kuwa muigizaji huyo alionekana kwenye kituo f’lani cha afya maeneo ya Kigogo jijini Dar akipima Ukimwi lakini alipokuwa akisubiri majibu kwenye benchi, ghafl a alitimka na kuondoka eneo hilo.
Alipopigiwa simu na mwanahabari wetu na kuelezwa mchongo mzima, Ben alishtuka na kukiri lakini akadai si kwamba alikimbia bali alipata dharura na atarejea kuyachukua majibu. “Nimepata dharura, pale nitarudi tu kuchukua majibu si kwamba nimekimbia moja kwa moja,” alisema Ben.

from Blogger http://ift.tt/2kPrAOR
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment