Show ya Alikiba South Africa, Iwe Funzo Kwa Wasanii wa Bongo Fleva

Jana nyota wa Tanzania na Mshindi wa MTV EMA african act 2016 Alikiba alianza world Tour yake kwa showJijini Durban South Africa.
Kiwango cha idadi ya watu waliojitokeza na ukumbi aliofanyia show inathibitisha kabisa mziki wa bongo flava bado una safari ndefu kutoboa kimataifa hasa nje ya East Africa.
Collabo ni njia mojawapo ya kutoka kwenye nchi ngumu kama South Africa na Nigeria japo kuna baadhi ya mashabiki wanazibeza.
Sasa kama Alikiba na ukubwa wake huo amepata idadi hiyo ya watu, Billnass, Baraka da Prince au Timbulo atapata watu wangapi? Wakati chipukizi wa Nigeria Tekno akija bongo ndo main Artist.

from Blogger http://ift.tt/2kPjqWP
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment