IKULU YAKANUSHA TAARIFA BANDIA KUHUSU RAIS MAGUFULI INAYOSAMBAZWA MITANDAONI

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa ametahadharisha umma kuhusu habari hii bandia inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii.
Msigwa ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa taarifa hiyo si ya Ikulu na kuwa imetengenezwa na wahalifu wa mitandao hivyo kwa kuwataka wananchi kuipuuza.
Hapa chini ndiyo taarifa husika;
ANGALIA VIDEO CHIDEO

from Blogger http://ift.tt/2lPMrWH
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment