Baada ya Jana Ridhiwani Kikwete Kukutana na Edward Lowassa Uwanja wa Taifa na Kupiga nae Stori kidogo amefunguka haya kwenye ukurasa wake wa Twitter:
“Siasa ni Shule ambayo haina kikomo. Tusichoke kujifunza. Mimi nahisi bado niko shule ya Msingi na ninaendelea kujifunza.#siasasivita” Ridhiwani
ANGALIA VIDEO CHIDEO
from Blogger http://ift.tt/2myc6A2
via IFTTT
0 maoni:
Post a Comment