Sababu ya Burundi kukataa kushiriki mazungumzo ya amani mjini Arusha

Serikali ya Burundi yagoma kushiriki katika mazungumzo ya amani ambayo yameandaliwa mjini Arusha nchini Tanzania ili kumaliza mzozo uliopo baina ya upinzani na serikali.
Wapinzani katika mmungano wa CNARED wamekubali kushiriki katka mkutano huo ambao umeanza Alhamis mjini Arusha.
Serikali kupitia msemaji wake Philippe Nzobonariba ameafahamisha kuwa serikali haijaridhishwa na uwepo wa wawakilishi wa kundi ambalo linahusika na jaribio la mapinduzi ya Mei mwaka 2015.
Kwa upande mwingine mshauri wa rais Pierre Nkurunziza amefahamisha kuwa muungano huo wa CNARED unajumuisha watu ambao wanatafutwa kujibu shtaka na vyombo vya sheria nchini Burundi na kusema kuwa muungano huo hautambuliki kisheria.

from Blogger http://ift.tt/2lj9IxC
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment