Umeipata Hii ya Mwimbaji Barnaba Kumfumania Mkewe na Mwanaume Mwingine?

Mke wa Barnaba Akiwa na Bwana Mwigine 
Jana February 15 2017 kupitia XXL ya clouds FM, Soudy Bwown ametuletea U Heard inayohusu mwimbaji staa wa Bongofleva Barnaba kudaiwa kuachana na mke wake.
Kwa mujibu Soudy Brown inadaiwa Barnaba amefikia hatua ya kuachana na mke wake baada ya kumfumania mke wake hivyo ikabidi ahame nyumbani na kutafuta sehemu nyingine. Soudy Brown kapiga stori na msanii wa Bongofleva kumuuliza kuhusu taarifa hizo za rafiki yake Barnaba.
‘Mimi nakaa karibu na Barnaba, taarifa hizo ningekuwa nimeshazisikia kwa hiyo ngoja nizifuatilie’ – Amini

http://ift.tt/2kssSUH

from Blogger http://ift.tt/2lNYMLO
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment