Viongozi watolewa hofu kuzungumzia njaa

Shinyanga. Mbunge wa Shinyanga, Stephen Masele amewataka viongozi kuzungumza ukweli kuhusu njaa na kuacha kuogopa kutumbuliwa.
Masele amesema hayo jana wakati akitembelea kata mbalimbali za jimbo hilo ili kupokea kero za wananchi na kuzifanyia kazi.
Ameitaka Serikali kutambua kuwa wananchi wana njaa na hakuna chakula huku akiomba kilicjopo kuuzwa kwa kwa bei nafuu.
“Maeneo yote niliyopita nimekutana na vilio vya wananchi wakiomba msaada wa chakula kutokana na baadhi yao kudai wanakabiliwa na uhaba wa chakula na bei kubwa.
“Rais John Magufuli anaomba tumsaidie, na sisi tunamsaidia kwa kumwambia ukweli kuwa wananchi wana njaa watendaji wa Serikali hawasemi ukweli kwa hofu ya kutumbuliwa,” alisema Masele.

from Blogger http://ift.tt/2lZOxAJ
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment