Wachambuzi wa fashion wanadai Dogo Janja na Fid Q hawakamatiki kwa sas







Wachambuzi wa masuala ya fashion aka mitupio, wanadai kuwa Fid Q na Dogo Janja kwa sasa hawakamatiki.

Iko wazi hata ukipita kwenye kurasa zao za Instagram, utagundua kuwa kabati zao zimesheheni viwalo vya nguvu. Mtangazaji wa kipindi cha The Storm cha Clouds TV, Lilliane Masuka ameungana na Ayoub Mrema kuwachambua vyema.


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment