MAUWAJI YA KUTISHA MBEYA KATIKA WILAYA YA MBARALI.

www.jichopembuzi@gmail.com
Katika hali isiyoyakawaida Doto Sodela ameuwawa na watu 5 huko katika kijiji cha madabaga wilaya ya mbarali kwa kupigwa fimbo kichwani huku chanzo cha tukio hiloikiwa ni baada ya marehemu kukataa kukamatwa kwa tuhuma za kutaka kumbaka wayaga.

Kamanda wapolisi mkoa wa mbeya Diwani Athumani amesema wanaoshikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhuwa kwa kukusudia akiwemo Muondela jinai,Shigela Sidela,Gere Mwinanira,Moshilo Mwinanira,Vedo Sodela.

Aidha diwani athumani ameta wito kwa jamii kutojichukulia sheria mikononi badala yake wafikishe katika mamlaka husika ili sheria ichukue mkondo wake.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment