
Aidha Diwani ameongezea kusema watu 2 walio faliki papo hapoawajatambuliwa majina yao bado na mihili yao imeifadhiwa hospitali ya serikali vwawa huku majeruhi nao bado wajatambuliwa majina yao na wamelazwa katika hospitali ya rufaa mbeya
wito uliotolewa na kamanda Athumani ni madereva kuwa makini watumiapo vyombo vya moto barabarani.
0 maoni:
Post a Comment