MZIMU WA AJALI UMEENDELEA KUIKUMBA MBEYA.

Watu wawili wamefaliki dunia papo hapo kwa ajali mbaya ya magari 2 aina ya scania kugongana na trekta huko katika kijiji cha  Chimbuya barabara ya Mbeya Tunduma huku chanzo cha ajali kikichunguzwa.

Kamanda wa polisi mkoa wa mbeya Diwani Athumani amesema ajali hiyo imesababishwa  na magari 2 aina ya scania moja likiwa ni mali kampuni ya DHANDHO lenye usajili wa namba ACP 8839 aina ya Scania na la pili ni lenye usajili wa namba T.765 BBA huku trekta ambalo alija fahamika namba zake lina endelea kufutiliwa kujua mmiliki wa trekta hilo.

Aidha Diwani ameongezea kusema watu 2 walio faliki papo hapoawajatambuliwa majina yao bado na mihili yao imeifadhiwa hospitali ya serikali vwawa huku majeruhi nao bado wajatambuliwa majina yao na wamelazwa katika hospitali ya rufaa mbeya

wito uliotolewa na kamanda Athumani ni madereva kuwa makini watumiapo vyombo vya moto barabarani.


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment