Mwanamuziki wa bendi ya wafungwa nguza viking "Babu seya" (kulia) na Mwanaye Johnson nguza "Papii kocha" (wapili kulia) wanaotumikia kifungo cha maisha gerezani,wakitumbuiza show na wenzao katika maadhimisho ya siku ya magereza ambayo yamefanyika katika chuo cha magereza Ukonga Jijini Dar es salaam.NGUZA VIKING BABU SEYA NA PAPII KOCHA WAPIGA SHOW SIKU YA MAGEREZA
Mwanamuziki wa bendi ya wafungwa nguza viking "Babu seya" (kulia) na Mwanaye Johnson nguza "Papii kocha" (wapili kulia) wanaotumikia kifungo cha maisha gerezani,wakitumbuiza show na wenzao katika maadhimisho ya siku ya magereza ambayo yamefanyika katika chuo cha magereza Ukonga Jijini Dar es salaam.
0 maoni:
Post a Comment