Mwandishi wa J.M.Z .I nchini Iraq amesema hatua hiyo inafungua njia kwa wapiganaji wengine wa ISIS nchini syria.wapiganaji hao vilevile wameiteka miji zaidi katika mkoa wa Anbar ambapo mwandishi huyo anasema kuwa lengo lao ni kuvamia mji wa Baghdad.

0 maoni:
Post a Comment