BADO NI MAJANGA YA AJALI ZA NDEGE,HII NI YA SAA KADHAA ZILIZOPITA MAREKANI.

Mpaka sasa kuna habari nne kubwa za ndege ambazo zimetokea ndani ya kipindi cha siku 9 zilizo pita, kunaajali ya ndege 3 ambazo ni ile ya Malaysia,Mali,na Taiwan ambapo kwenye kisa kilichofata ni cha ndege moja kulazimika kurudi ilikorukia baada ya kijana raia wa Canada kusema anampango wa kulipua nchi yake kwa sababu anaichukia 

Sasa tukio jingine la saa kadhaa zilizopita ni kuhusu ndege ndogo ya abilia ambayo imelazimika kutua kwa dharura ufukweni huko venice Florida Marekani baada ya kupata tatizo ikiwa angani na Rubani kuona akukua na uwezekano wa kufika uwanja wa ndege alikofanya mawasiliano 

kutua huko kwa dharura kumesababisha kifo cha mwanaume mmoja alikuwa akitembea ufukweni huko mtoto wake wa kike akijeruhiwa vibaya kwenye hii ajali.


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment