JAMUHURI YA DOMINICA YATEKETEZA SILAHA.

Jamuhuri ya watu wa Dominica imeteketeza silaha za moto zaidi ya laki mbili ikiwa ni hatua kukalibiana na utamaduni wa uzagaaji wa silaha za moto 

Bunduki zilizo teketezwa katika kampeni hiyo ni za kutoka maeneo mbalimbali nchini ambazo zilisagwa na vyuma vyake vinatalajiwa kujengwa kumbukumbu katika mji wa Santo Domingo.

Waziri wa sheria nchini humo Francisco Dominguez ameuelezea utamaduni wa watu kumiliki silaha kuwa ni janga katika usalama wa nchi hiyo.

Polisi wanasema asilimia 70 ya uhalifu huo unaofanyika nchini humo kila mwaka utekelezwa kwa kutumia silaha hizo.Nchi hiyo inakadiliwa kuwa na silaha laki mbili kati ya raia milioni 10.


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment