
Lakini wakiti watu wengi wakikusanyika kwa sla na kushiliki katika sherehe jumatatu katika nchi kama Indonesia na Misri sherehe ni ya ukimya na huzuni kwa maeneo kama ukanda wa Gaza na malaysia.
Mamia ya wanao abudu katika msikiti wa taifa huko kuala Lumpur waliofanya maombi kwa ajili ya waathirika wa ndege za malaysia moja iliyo angushwa huko mashariki mwa Ukraine na nyingine iliyopotea ikiwa safarini kuelekea Beijing mwezi machi.

0 maoni:
Post a Comment