CHINA YARUSHA SATILAITI NYINGINE KWA MAFANIKIO.

Mapema leo Asubuhi china imerusha satilaiti moja iliyo bebwa na roketi ya Changzheng No 2 satilaiti hiyo inayopewa jina la Chuangxin No 4 imeingia kwenye njia iliyo pangwa na kazi yake ni kukusanya na kutuma data zinazo husu mambo ya maji hali ya hewa ,umeme na kushughulikia  maafa katika vituo mbalimbali vya usimamizi vilivyo katika anga za juu.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment