MISRI:VIONGOZI WAKATAZA UNENGUAJI VIUNO.

Bodi ya kidini ya misri ,imetoa fatwa kukataza uoneshaji wa kipindi kilichoanzishwa kwenye televisheni nchini humo kuonyesha dance ya jadi ya wanawake wa misri ya kunengua viuno almaarufu "belly Dance"

Ngoma hiyo inayo fanana na chakacha ya waswahili imechezwa tangu zama za kale na imenakiliwa tangu enzi za ma-pharoah katika nchi hiyo ya misri.

Maelfu ya watu ambao ni watalii wanao itembelea misri,upenda kwenda kuiona inavyo chezwa lakini mnamo siku za hivi karibuni wasaichana kutoka sehemu nyingi duniani hasa ulaya na ata uchina wameripotiwa kwenda misri kujifunza jinsi ya kucheza dansi hiyo.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment