RAIS WA ZIMBABWE AZINDUA MRADI WA UPANUZI WA KITUO CHA UMEME ULIOFADHILIWA NA CHINA.

Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amezindua mradi wa upanuzi wa kituo cha umeme ambacho ni cha pili kwa ukubwa ncini humo,mradi unao fadhiliwa na china na kuendeshwa na kampuni ya ujenzi ya china

Upanuzi wa kituo cha Umeme cha kusini cha kariba utaongeza uwezo wa zimbabwe kuzalisha umeme kwa robo baada ya miaka mitatu ijayo,mradi huo utagharimu dola za kimarekani milioni 533 ambapo dola milioni 319 zitapatikana kupitia mkopo utakao tolewa na benki ya Exim ya China.

Hata hivyo,kuzinduliwa kwa mradi huo kumekuja baada ya ziara ya Rais Mugabe kwenda china kuanzia Agosti 24 hadi 28 wakati huo alisaini mikataba mingi ya makubaliano ikiwemo msaada wa serikali wa dola milioni 20 za kimarekani na mkopo wa dola milioni 218 kwa kampuni ya mawasiliano ya Net One ya zimbabwe .

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment