SARKOZY AREJEA KWENYE UKUMBI WA SIASA .

Kurejea kwa Nicolas Sarkozy kwenye ukumbi wa siasa nchini Ufaransa huenda ikapelekea kujizatiti upya kwa chama cha kisoshalisti ambacho kimeonekana kupoteza kwa asilimia kubwa imani kwa wananchi.

Wajumbe wengi kutoka chama cha kisoshalisti hawafichi tangu wiki iliyopita msimamo wao baada ya kutangazwa kwa Nicola Sarkozy kwenye ukumbi wa siasa ni miaka miwili sasa tupo pekee madarakani kwahiyo tunasubili jipya analolileta katika siasa za Ufaransa wamesema wajumbe hao wa chama cha kisoshalisti.

kwa upande wake serikali ya Ufarans,Hasa ikulu ya Paris imesema kwamba kurejea kwamba kwa Nicolas Sarkozy kwenye ukumbi wa siasa kutachangia kuhamasisha mijadara tofauti na ilivyo kuwa awali.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment