Mshambuliaji wa kutumainiwa wa Simba Hamisi Tambwe jana Asubuhi amefanya mazoezi kwa asilimia 100 na kuondoa uvumi uliokuwa umemuhusisha kukosa mechi ya leo zidi ya Stand United
Amisi Tambwe ambaye ni mfungaji bora wa ligi kuu Tanzania bara msimu ulio pita leo anatalajia kuingoza timu ya simba akishilikiana na mshambuliaji Emmanuely Okwi kujalibu kupata ushindi kwenye mchezo wowote kati ya miwili waliocheza mpaka sasa baada ya kutoa sare mechi zake mbili za kwanza kati ya polisi morogoro na Coastal Union
Tambwe ambaye alikuwa kwenye hati hati ya kucheza mchezo huo wa kesho leo asubuhi amefanya mazoezi vizuri pamoja na kikosi cha simba kwenye vya chuo kikuu cha Dar es salaam
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 maoni:
Post a Comment