Kocha wa Spurs Mauricio Pochettino awatia kitanzi wachezaji wake


 

Kocha wa timu ya Tottenham Hospurs ya Uingereza, ameonekana kuendelea kuwa na msimamo wa kuwashawishi wachezaji wake kuendelea kuichezea timu hiyo baada ya kumuongezea mkataba mpya Jan Vertonghen.
3af58b8a00000578-3993670-image-a-16_1480677568449
Vertonghen ambaye anacheza kwenye nafasi ya beki ameongeza mkataba wa miaka miwili wa kuendelea kuichezea timu hiyo ambao utafikia mwisho mwaka 2019.
Mchezaji huyo alisajiliwa na timu hiyo akitokea Ajax ya Uholanzi mwaka 2012.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment