Ushindi wa kwanza wa Chelsea EPL dhidi ya Man City baada ya miaka miwili



Ligi Kuu England msimu wa 2016/2017 imeendelea tena leo Jumamosi ya December 3 2016 katika viwanja mbalimbali nchini England, Chelsea walisafiri hadi jiji la Manchester kucheza na wenyeji wao Manchester City katika uwanja wa Etihad.
3afcc8b400000578-3996828-image-a-60_1480772289835
Chelsea walisafiri katika dimba la Etihad wakiwa na kumbukumbu ya kumfunga Man City katika mechi za Ligi Kuu England mara ya mwisho February 3 2014, leo December 2 2016 Chelsea iliyochini ya kocha Antonio Conte wamefanikiwa kuifunga Man City goli 3-1.
screen-shot-2016-12-03-at-6-06-10-pm
Msimamo wa EPL baada ya matokeo ya mechi ya Man City vs Chelsea
Magoli ya Chelsea yalifungwa na Diego Costa dakika ya 60, Willian dakika ya 70 na Eden Hazard dakika ya 90 huku goli la Man City likipatikana kwa Chelsea kujifunga dakika ya 45 kupitia kwa Gary Cahill, mara ya mwisho Chelsea kumfunga Man City EPL alimfunga goli 1-0.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment