17 WAFA UWANJANI ANGOLA


Kuna taarifa zimeripotiwa na mitandao mbalimbali duniani kuhusu vifo vya Watu 17 na  60 kujeruhiwa vibaya baada ya mkanyagano kwenye uwanja mmoja wa mpira nchini Angola.
Mkasa huo umetokea katika mji wa kazkazini mwa nchi hiyo Uige na taarifa hizo kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii zikiandamana na picha.
Mechi iliochezwa ilikuwa baina ya timu za Santa Rita de Cassia na Recreativo do Libolo,
Inadaiwa kitendo cha kundi la mamia ya watu la kuingia kwa nguvu kwenye uwanja huo ndio kilichosababisha mkasa huo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment