Mambo 5 yatakayo kusaidia mtu alie umizwa katika mahusiano

Unapotaka kumshauri mtu aliyeathirika na mapenzi unatakiwa kuyafahamu mambo haya muhimu nayo ni:

1. Unatakiwa kujua maana ya upendo na gharama zake.

2. Lazima ujue vyanzo vya kujenga uhusiano ili uwe imara na mwenye nguvu katika maisha ya wapendanao.

3. Mambo 32 yanayojenga uhusiano kama ulivyosoma.

4. Lazima ujue mambo yanayoweza kuharibu mahusiano na milango ya kuvunja mahusiano.

5. Lazima ujue maumivu ya mapenzi ili uweze kuwaponya waliojeruhika kimapenzi.

from Blogger http://ift.tt/2lvO37G
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment