VIDEO ya Mama aliye fukua Kaburi la Mwanae Jijini Mbeya

Tukio hilo limetokea mkoa wa Mbeya vijini Mbalizi katika tarafa ya utengule usongwe kitongoji cha Shigamba ambacho kipo barabara ya kwenda Unalike. Marehemu ni kijana mwenye umri wa miaka 22 na alifariki tarehe 16feb17 na kuzikwa tarehe hiyohiyo eneo na makaburini Shigamba barabara ya kwenda umalila. Isuzu wa kuamkia leo ikaonekana kaburi la kijana huyo limefukuliwa na Mama yake mzazi
Inasadikika na Mama yake mzazi akishirikiana na ndugu wa karibu kutokana na imani ya dini yao kwamba mwanae baada ya siku tatu atafufuka.baada ya kufukilwa walibeba
Mwili wa marehemu na kuupeleka nyumbani eneo la shigamba wakauosha na kuuvika suti wakisubiri siku tatu zifike ili aweze kufufuka Kama bwana wetu Yesu Kristu, Mwili wa marehemu umechukuliwa na polisi pamoja na Mama mzazi kwa uchunguzi zaidi.
ANGALIA VIDEO HAPO CHINI JINSI ILIVYOKUWA

from Blogger http://ift.tt/2m01jzk
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment