Picha: Maelfu wajitokeza Kumzika Mchezaji Geofrey Bonny

Maelfu ya wakazi Wa mkoa Wa mbeya wamejitokeza katika mazishi ya mchezaji Wa zamani Geoffrey bonny mwandanji aliyefariki dunia juzi na kuzikwa katika makaburi ya kanisa katoliki makandana wilayani Rungwe.

Wakizungumza wakati Wa mazishi baba mzazi Wa marehemu,bonifasi mashamba alisema amepokea kwa masikitiko kifo cha mwanae na kuongeza kuwa aliishi na watu vizuri jambo lililochangia watu wengi kujitokeza kumuuguza ikiwa ni pamoja na misaada mbali mbali.

Nae Mjomba Wa marehemu, innocent sigonda alisema marehem alikua akisumbuliwa na Kansas ya mapafu pamojs sukari ilikuwa ikishuka Mara kwa Mara.

Mwenyekiti Wa tawi LA yanga mkoa Wa mbeya alisema lusajo kifamba alisema marehemu alikuwa meanachama hivyo uongozi unasikitika kumpoteza mwanachama wake ambae alikuwa akitoa msaada Wa kiufundi kila alipotakiwa.

Naye mwakilishi Wa uongozi Wa yanga makao makuu shadrack nsajigwa alisema marehemu aliishi nae kama ndugu kwani walisaidiana na kupeana ushauri

Alisema marehemu alikua na kipaji cha Mpira pia alikua anajituma hivyo alikua mfano Wa kuigwa kwa vijsna waliopo

Aliongeza kuwa wachezaji Wa zamani no hazina kwa taifa hivyo ni vema wakatunzwa na kuthaminiwa aidha alitoa wito kwa wachezaji wengine kujipanga kimaisha ili baada ya kustafu wasisubiri kuomba misaada pindi wapatapo matatizo.

Alisema in vema pia kuanzisha vyama vya kuwasaidia kama wachezaji wastaafu.

Chanzo:Mbeya yetu

from Blogger http://ift.tt/2lvVM5z
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment