Spika Ndugai: Makonda ni Mtani Wangu, Hivyo Msijali Maneno yake

Bila shaka hili ni dongo zuri kwa Makonda, na ni sawa na kusema watu wayapuuze maneno anayoyaongea kwa kuwa ni utani tu
Siku moja baada ya Spika wa Bunge, Job Ndugai, kutakiwa kutimiza ahadi yake ya kuweka vifaa vya kupima wabunge kama wametumia kilevi ama dawa za kulevya kabla ya kuingia Ukumbi wa Bunge, amesema Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ni mtani wake, hivyo watu wasijali maneno yake. Aidha, katika Mkutano wake uliofanyika juzi, Makonda alimuomba Spika Ndugai kuweka kipimo hicho ili kabla wabunge hawajasimama kuchangia hoja wabainike kama wanatumia dawa za kulevya au la.
Chanzo: Dar24

from Blogger http://ift.tt/2m0Zn8S
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment