VIDEO: Uokoaji kwenye Mgodi uliofukia watu Mara umesimama

Baada ya taarifa za awali za watu 13 kuokolewa wakiwa wamejeruhiwa baada ya kufukiwa ndani ya mgodi Butiama mkoani Mara. 
Taarifa nyingine kutokea Butiama ni kuwa zoezi la uokoaji limesimama kwa muda kutokana na maji kujaa ndani ya mgodi na juhudi zinafanyika kutoa maji ili zoezi la ukoaji liendelee. Jana miili ya watu wawili ilipatikana na kwa mujibu wa Mkuu wa wilaya ya Butiama Annarose Nyamubi bado watu wanne hawajaokolewa. 

from Blogger http://ift.tt/2l7BAor
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment