WATANZANIA WAMETAKIWA KUJALI MATIBABU YA NCHINI .



Watanzania wametakiwa kujenga tabia ya kupunguza gharama zamatibabu kwa kutibiwa katika hostipali zilizopo hapanchini badala ya kwenda kutibiwa nje ya nchi



Akizungumza katika kongamano la kitaifa la madactari bingwa wa mifupa na jeraha mkurugenzi mtendaji wa hospili  ya mnazi moja alli salum alli

Amesema watanzania wanatumia gharama kubwa kwenda kutibiwa nchi za nje wakati hapa nchini zipo hospitali zenye uwezo wakutibu kama zilivyo hospila za nje

Madactari bingwa wa mifupa na majeraha kutoka ndani na nje ya nchi wamekutanana katika hospitar ya tasakta iliopo mjini unguja ili kubadilisha uzoefu wa namna ya kufanya upasuaji na kuwa saidia watanzania wengi  ambao wamekuwa wakitumia gharama kubwa kufuata matibabu nje ya nchi

Mkurugezi mtendaji wa tulki group inayomiliwa na hispitali hoyo teofilki sale tilki amesema lengo lakufanya kongamano hilo ni kuwawezesha madactari wa mifupa kupata uzoefu kutoka kwa madactari wa nje ya nchi


Doctor alli salimu alli ni mkurugenzi mtendaji wa hospitali ya mnazimoja iliyopo mjini unguja amesema zipo baadhi ya  hospitali hapa nchini zenye uwezo wa kutibu magongwa mablimbali nakutoa wito kwawatanzania wote kutumia fursa hiyo ilikupunguza gharamaa


Kwaupande wa dactari wa upasuaji kutoka taasisi ya mifupa moi dr nungu samweli amesema uwepo wa hospilai ya tasakta inayo tibu magonjwa ya moyo imepunguza idadi kubwa kubwa ya wagonjwa wanaokwenda kutibiwa katika hospitali ya taifa MUHIMBILI jijin dar es salaam


Dr bingwa waupasuaji kutuka nchini kanada sandro gomali amesema huduma ya upasuaji nchi Tanzania unafanywa kwa bei na fuu na kuhaidi kuwatibu kuwatibu wagonjwa wake nchini Tanzania ikiwa pamoja na kutangaza utalii kupitia sekta ya AFYA

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment